Tetesi za soka Ulaya Jumanne 21.11.2017
Nahodha wa zamani wa klabu ya West Brom Derek McInnes, anayeisimamia Aberdeen, ni miongoni mwa wagombea wa kuchukua mahala pake mkufunzi wa klabu hiyo aliyefutwa kazi Tony Pulis kama mkufunzi. (The Scottish Sun)
Hatahivyo mashabiki wa West Brom wanamtaka mkufunzi wa zamani wa Everton kuchukua mahala pake Pulis. (Express & Star)
Mkufunzi wa zamani wa klabu ya West Ham Alan Pardew, meneja wa zamani Nigel Pearson na mkufunzi wa timu ya Ireland Martin O'Neill ni miongoni mwa wakufunzi walioorodheshwa katika kuchukua kazi ya meneja wa West Brom job. (Guardian)
Hatahivyo mashabiki wa West Brom wanamtaka mkufunzi wa zamani wa Everton kuchukua mahala pake Pulis. (Express & Star)
Mkufunzi wa zamani wa klabu ya West Ham Alan Pardew, meneja wa zamani Nigel Pearson na mkufunzi wa timu ya Ireland Martin O'Neill ni miongoni mwa wakufunzi walioorodheshwa katika kuchukua kazi ya meneja wa West Brom job. (Guardian)

Post a Comment