Sherehe ya kuwaaga wanajeshi wa Tanzania waliouawa DRC yafanyika.
![]() |
| Sherehe za kuwaaga wanajeshi waliouawa DRC |
Wanajeshi hao waliuawa baada ya kupigana na waasi kwa muda wa saa 13 kufuatia waasi hao kuishambulia kambi yao.
Sherehe za kuwaaga wanajeshi wa TZ waliouawa DRC zafanyika
Sherehe hizo zimefanyika kwenye makao makuu ya jeshi la ulinzi na usalama Tanzania "gnome" upanga jijini Dar es Salaam
Mkuu wa ulinzi wa amani wa Umoja wa mataifa Jean Piare Lacroix, alihudhuria sherehe hizo. Familia za wanajeshi hao nazo zilikuwepo na zimeungana na wapendwa wao kuelekea mikoani.

Post a Comment